
Je? Lyrics
Devrix Da Fubu
Source: lrclib.net
A rabada rabada Yelele mama‚ Yelele mama Da fubu Da fubu dede Yelele mama‚ Yelele mama Sa leo nikose namna Nikose pesa ya kukubuyia nyama ah? Je utanipenda ama? Hautoniacha kwangu we hautohama? Ama nikikosa namna Nd'o utanisema kwa watu vibaya? Utanitukana? Ama utanilindia penzi daima? ooh Namini mi mtafutaji natafuta Nikipata lazima nitaleta Nachojua nikisaka nitapata Ninaamini hautoniacha Niambie mapema labda sijajua Kama unanipenda sana au La Kwa moyo wangu ukipenda Hautoniacha Peke yangu n'sibaki ubaki Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utanilindia penzi langu? Hautoniacha juu ya umasikini? Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utapenda peke yangu? Hadi nipate nikupe nini? Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utanilindia penzi langu? Hautoniacha juu ya umasikini? Hautonuna nikikosa kuja Na vitu mafungu? Hautonuna nikikosa kazi Masiku tabibu ? Niambie kama hautanuna Nikikosa wiki kuleta kakitu? Hautanuna nikikosa Uwezo wa nyama baby boo uuh? Nikikosa namna leo utanipenda? Ama ndio utaniachaga pekee yangu ? Nikikosa namna leo utanipenda? Ama utatangaza kwa wenzangu? Mi mtafutaji natafuta Nikipata lazima nitaleta Nachojua nikisaka nitapata Ninaamini hautoniacha Niambie mapema labda sijajua Kama unanipenda sana au La Kwa moyo wangu ukipenda Hautoniacha Pekee yangu n'sibaki ubaki Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utanilindia penzi langu? Hautoniacha juu ya umasikini? Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utapenda peke yangu? Hadi nipate nikupe nini? Je utavumilia baby? Hautoniacha hata iwe nini? Utanilindia penzi langu? Hautoniacha juu ya umasikini?
Create Your Own Playlist
Save this song and build your perfect collection. 100% free, no ads.