Vavayo (feat. Marioo)

Vavayo (feat. Marioo) Lyrics

Whozu

출처: YouTube Music

Yesa man yesa yesa
Badi
Zombiee mmh!
Shhhh!

Yaani kama yangu
Nitaipata hata mkiibana
(Yaani kama yangu)
(Nitaipata hata mkiibana)
Aiii mama
Kumbe siku hizi wachawi sio wazee
(Aiii mama)
(Kumbe siku hizi wachawi sio wazee)
Nasema kama yangu
Nitaipata hata wakiibana
(Nasema kama yangu)
(Nitaipata hata wakiibana)

Aiii baba
Naona wana mapepo tuyakemee
(Aiii baba)
(Naona wana mapepo tuyakemee)
Mungu baba tusamehe tumelewa
Hii dunia kuna watu wanaboa
Mungu baba tusamehe tumekunywa
Hii dunia kuna watu wanakera

Shikilii papapapapapolipo
(Shikilii papapapapapolipo)
Kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
(Kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa)
Shikilii papapapapapolipo
(Shikilii papapapapapolipo)

Wasiopenda mi nikifanikiwa wote mavavayo
Vaa vavavavayo
Wasiopenda we ukifanikiwa wote mavavayo
Vaa vavavavayo
Mhh eeh eeh eeh

Yaani kama yangu nitaipata hata mkiibana
(Kama yangu nitaipata hata mkiibana)
Aiii mama kumbe siku hizi wachawi sio wazee
(Aiii mama kumbe siku hizi wachawi sio wazee)
Nasema kama yangu wataipata hata wakiibana
(Kama yangu nitaipata hata mkiibana)

Aiii baba naona wana mapepo tuyakemee
(Aiii baba naona wana mapepo tuyakemee)
Mungu baba tusamehe tumelewa
Hii dunia kuna watu wanaboa
Mungu baba tusamehe tumekunywa
Hii dunia kuna watu wanakera

Mhisu!
Shikilii papapapapapolipo
(Shikilii papapapapapolipo)
Kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
Kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
Shikilii papapapapapolipo
(Shikilii papapapapapolipo)

Wasiopenda mimi kufanikiwa wote mavavayo
Vaa vavavavayo
Aii eeeeh!
Uuu uuh uuh!
Eeh!
Wasiopenda wewe ukifanikiwa wote vavayo
Vaa vavavavayo

Eeeih ueh!
Kamix Laiser

나만의 플레이리스트 만들기

이 곡을 저장하고 나만의 컬렉션을 만들어 보세요. 100% 무료, 광고 없음.

플레이리스트 시작
Vavayo (feat. Marioo) Lyrics - Whozu | SORI Magazine